WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUENEZA UVUMI WA CORONA
Polisi Mkoani Pwani wanawashikilia Watu wanne waliokamatwa ndani ya Mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi wa vifo vya Watu wakidai wamekufa kwa Corona na kutia hofu Wanachi. Watuhumiwa hao ni Frank Nyange (47), Mozes Mgao (34) Mohamedi Lutambi (47) na Bumija Senkondo (55). “Watuhumiwa hawa wanne tuliowakamata na wengine ambao tunaendelea kuwatafuta
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed