WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUENEZA UVUMI WA CORONA

Polisi Mkoani Pwani wanawashikilia Watu wanne waliokamatwa ndani ya Mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi wa vifo vya Watu wakidai wamekufa kwa Corona na kutia hofu Wanachi. Watuhumiwa hao ni Frank Nyange (47), Mozes Mgao (34) Mohamedi Lutambi (47) na Bumija Senkondo (55). “Watuhumiwa hawa wanne tuliowakamata na wengine ambao tunaendelea kuwatafuta